,Niliambiwa heart huskip a beat..
when you both meet..
..at the first sight..
na nikapuuza...
,hadi nilipopatana naye..
..yule wa kiwewe...
for the first time,
,nikajidanganya na kukanganya,
,kuwa kifaranga yuko safe,
..mikononi mwa mwewe..
kwa barabarani ilikuwa...
,mimi na yeye..
My heart, beat very first..
and I heard it skip a beat..
at some point I felt weak..
,but I had the to face her beauty..
through her smile...
So cute, it drove me miles..
,in my imagination...
Kwani nilimfananisha..
,na myale wa jua,
asubuhi ama zaidi jioni..
,I wish ungekuwa..
I believe ungejua..
,ni ya semayo... for sure..
But since you were not there..
..I guess my words..
will make you feel as your were there..
,in my world with her...
Mwenye umbo wakustaajabisha..
,ya Phirauni kando..
Macho yake ya vutia..
,zaidi ya mdomo kwa sigara..
Nywele yake nyororo..
,ya weza mfungia simba..
sebuse mbwa..
Sauti yake walai...
,nyoka hangeka pangoni..
Aliponigusa..
my heart skipped a beat...
No, my heart skipped beats...
,trust me, niliimba kimoyo...
,juu aliniimba kimoyo moyo..
I gues her hear beat..
..the beats that my heart skipped...
Na hivyo ndivyo nilivyo, hehee..
,,,anguka ndani ya Mapenzi...
And thats how I.
,,,feel in love...
ⓒ2015
No comments:
Post a Comment